Fally Ipupa kuja na Albamu ya 'Tokoos' mwezi julai. Be ready
Licha ya kufanya vizuri kwenye 'Eloko oyo' sasa mashabiki wa Fally Ipupa mkae mkao wa kula julai 7 mwaka huu kwa kuipokea ile ahadi ya mkali huyo kutoka pande za ukongoni.
Bongoswaggz inakuthibitishia taarifa za kuwepo albamu ya Fally Ipupa aliyoipa jina la 'Tokoos' baada ya kuposti ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Bongoswaggz inakuthibitishia taarifa za kuwepo albamu ya Fally Ipupa aliyoipa jina la 'Tokoos' baada ya kuposti ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"New albam #Tokoos julai 7#
Download App Yetu MPYA >> BOFYA HAPA << Tukutumie Habari na Burudani Zote FASTA Kila Siku !
No comments
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI.