Niko tayari kuolewa na Wizkid - Lulu la Diva
Msanii wa kike ambaye pia ni muuza nyago katika Video za Kibongo, Lulu
Abbasi ‘Lulu La Diva’ amefunguka kuwa yuko tayari kuolewa na msanii wa
muziki kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogun ‘Wizkid’.
Akizungumza na Global TV Online hivi karibuni, Lulu alisema yuko tayari
kufanya mambo mengi sana na Wizkid hata kama ni kumuoa.
“Niko tayari kufanya naye kazi na nitafanya naye ikitokea hivyo na nitafanya naye vitu vingi sana hata kama akitaka kunioa niko tayari,” alisema Lulu La DIVA. Lulu La Diva ameuza nyago katika video ya Wimbo wa Naogopa wa Mirror na Baraka Da Prince.
“Niko tayari kufanya naye kazi na nitafanya naye ikitokea hivyo na nitafanya naye vitu vingi sana hata kama akitaka kunioa niko tayari,” alisema Lulu La DIVA. Lulu La Diva ameuza nyago katika video ya Wimbo wa Naogopa wa Mirror na Baraka Da Prince.
Download App Yetu MPYA >> BOFYA HAPA << Tukutumie Habari na Burudani Zote FASTA Kila Siku !
No comments
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI.